Friday, May 30, 2014

KUSUDI LA MUNGU KWAKO

UTANGULIZI
  • Mungu alimuumba mwanadamu akiwa na kusudi maalumu kwa kila mwanadamu MHUBIRI 3:1
  • Mwanadamu kwa kutotambua kusudi la Mungu anajitenga na mpango kambambe wa serikali ya mbinguni  YEREMIA 29:11
  • Mambo yafuatayo yanadhihirisha makusudi mema ya Mungu kwako

  1. UZIMA, KUPITIA MATESO NA MAUTI YA KRISTO YESU PALE MSALABAN
  • Mateso ya Yesu mwana wa Mungu yameleta ukombozi kwetu kwa kututentga na mauti, hivi sasa maui haina nguvu juu yet u kwa sababu ya mteso hayo   2 PETRO 2:24
  • Hata hivyo kusudi la Yesu la uzima linadhihirishwa na ujio wa Yesu hapa duniani (YOHANA 3:16)
       2. MSAMAHA WA DHAMBI
  • Hakuna mchungaji, Askofu, mwinjilisti, padre au mtu teyote awezaye kusamehe dhambi isipokuwa Yesu kristo pekee yake
  • kuokoka kunaambatana na msamaha wa dhambi.msamaha huu ni zawadi ya pekee ambayo hutaufanya kumrudia Mungu na kuishi kwa kusudi lake WARUMI 10:9-10
  •   Katika andiko hilo tunaona mtu aweza kuoka ka njia mbili tu ambazo ni;
    a. kukiri (kutubu/TOBA)
    b. kuamini, mambo haya tutayajadiri katika vipindi vinvyofuata katika blog hii.
     
        3. KUTUFUNGUA KWENYE VIFUNGO VYA MAPEPO(UKOMBOZI)
  •  Yesdu aliwapa mamlaka wanfunzi wake juu ya epo wachafu, Hii inatudhihirishia kuwa MUngu hapendi tuteske ama kuteswa na mapepo bali ahitaji tuwe huru   (MARKO 16:15-18;MATHAYO 12:30)



    MUNGU AKUBARIKI SANA TUTAENDELEA SOMO HILI KATIKA KIPINDI KIJACHO.

No comments: